Loading...
ADVERTISE WITH US ON THIS BLOG.CALL +255 714 789 592/ +255 682 997 767/ +255 752 944 022

HII NI ISHARA KUBWA TOSHA KUWA SAFARI YA DE GEA IKO MBIONI KUKAMILIKA KWENDA REAL MADRID

TANGAZO
Pereira
Goli kipa wa Manchester united ambae amechukua namba ya David De Gea ameongeza mkataba na Manchester united. Kipa huyo ame-post picha na kuandika “work harder than ever”.
Wakati David De Gea hakucheza kwenye mechi ya jana na kipa huyu amesaini mkataba ambao haujajulikana ni wa muda gani lakini wachambuzi wa mambo wanasema hali sio nzuri kwa De Gea au akipewa namba hatafanya makosa ili kutetea namba yake.
Pereira amesema kwamba ana furaha kuongeza mkataba mpya na Manchester united na pia anataka kufanya kazi kwa bidii zaidi ya zamani.
TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by WAYEGE CO.LTD
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mtazamo Mpya | Designed By FAHARI YA TANZANIA
Back To Top