Loading...
ADVERTISE WITH US ON THIS BLOG.CALL +255 714 789 592/ +255 682 997 767/ +255 752 944 022

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: THE GUNNERS USO KWA USO NA BARCELONA,CHELSEA MIKONONI MWA PSG

TANGAZO
Arsenal ya Uingereza imepangwa na Barcelona ya Uhispania kwenye hatua ya 16 bora Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.
Wenzao kutoka Uingereza Chelsea wamepewa miamba wa Ufaransa Paris Saint Germain baada ya droo kufanywa mjini Nyon, Uswisi.
Droo kamili:
§  Benfica (Ureno) v Zenit St Petersburg (Urusi)
§  Dynamo Kyiv (Ukraine) v Manchester City (Uingereza)
§  Juventus (Italia) v Bayern Munich (Ujerumani)
§  PSV (Uholanzi) v Atletico Madrid (Uhispania)
§  PSG (Ufaransa) v Chelsea (Uingereza)
§  Arsenal (Uingereza) v Barcelona (Uhispania)
§  Gent(Ubelgiji) v Wolfsburg(Ujerumani)

§  Roma (Italia) v Real Madrid (Uhispania)
TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by WAYEGE CO.LTD
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mtazamo Mpya | Designed By FAHARI YA TANZANIA
Back To Top