Loading...
ADVERTISE WITH US ON THIS BLOG.CALL +255 714 789 592/ +255 682 997 767/ +255 752 944 022

#WAZIRI NAPE MOSES NNAUYE AIPONGEZA KAMPUNI YA MAGAZETI YA SERIKALI KUSHIRIKI NANE NANE

TANGAZO
 WAZIRI Wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mheshimiwa Nape Moses Nnauye akipata maelezo kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya magazeti ya serikali.
 WAZIRI wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye akiwa kwenye Banda la Kampuni ya magazeti ya serikali kwenye maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika kwenye viwanja vya Ngongo Manispaa ya Mji wa Lindi.
 Baadhi ya Watumishi wa kampuni ya magazeti ya serikali wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mheshimiwa waziri Nape Moses Nnauye.
 WAZIRI Nape Moses Nnauye akisaini Kitabu cha wageni kwenye banda la maonesho ya Nane Nane 2016.
 MKUU wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi (Kushoto), akiagana na waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo mheshimiwa Nape Moses Nnauye.








TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by WAYEGE CO.LTD
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mtazamo Mpya | Designed By FAHARI YA TANZANIA
Back To Top