Loading...
ADVERTISE WITH US ON THIS BLOG.CALL +255 714 789 592/ +255 682 997 767/ +255 752 944 022

#MATUKIO MBALIMBALI YALIYOJIRI WAKATI WA MAONESHO YA NANE NANE VIWANJA VYA NGONGO-LINDI.

TANGAZO
 MJASILIAMALI anayefuga kuku akitoa maelezo kwa makamu wa Rais mheshimiwa Samia Suluhu Hassan wakati wa maonesho ya Nane Nane Ngongo manispaa ya Lindi.



 KAMANDA wa polisi mkoa wa Lindi Renatha Mzinga akiangalia bidhaa kwenye banda la maonesho la Halmashauri ya mji ws Masasi wakati wa maonesho ya Nane Nane.
 WANANCHI Waliojitokeza kwenye maadhimisho ya siku ya wakulima kwenye viwanja vya Ngongo Manispaa ya Lindi.
MKUU wa mkoa wa Lindi Mheshimiwa Godfrey Zambi akipewa maelezo kutoka kwa Afisa Kilimo wa Halmashauri ya mji wa Masasi Philipo Temba wakati wa maonesho ya Nane Nane 2016.
TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by WAYEGE CO.LTD
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mtazamo Mpya | Designed By FAHARI YA TANZANIA
Back To Top