Loading...
ADVERTISE WITH US ON THIS BLOG.CALL +255 714 789 592/ +255 682 997 767/ +255 752 944 022

MASASI TC FC YAFUNGWA KWA TAABU NA MASASI VETERANS,MASHABIKI WASHUHUDIA KANDANDA SAFI

TANGAZO
 Baadhi ya wachezaji wa Halmashauri ya mji wa Masasi wakiwa kwenye viwanja vya Boma mjini Masasi wakati wa mechi kati yao na Masasi Veterans.

Timu ya Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara hii leo imefungwa kwa tabu na timu ya Masasi Veterans ya mjini Humo katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye uwanja wa Boma mjini Masasi.

Mechi hiyo iliyoanza kwa mashambulizi kwa timu zote ilimalizika kwa Masasi Veterans kuibuka kwa ushindi wa mabao matatu bila majibu.


TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by WAYEGE CO.LTD
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mtazamo Mpya | Designed By FAHARI YA TANZANIA
Back To Top