Loading...
ADVERTISE WITH US ON THIS BLOG.CALL +255 714 789 592/ +255 682 997 767/ +255 752 944 022

TANGAZO LA KULIPIA ARDHI NA MASHAMBA HALMASHAURI YA MJI WA MASASI.

TANGAZO
TANGAZO
KAMISHNA WA ARDHI KANDA YA KUSINI ANAWATANGAZIA WAMILIKI WA ARDHI  NA MASHAMBA  KULIPIA KODI YA ARDHI  NA  MASHAMBA  KATIKA  OFISI  YA ARDHI  YA HALMASHAURI YA  MJI WA MASASI.

 WANANCHI AMBAO HAWAJALIPA  KODI  YA ARDHI  KWA MIAKA  YA NYUMA  WANATAKIWA KULIPA KODI  YA MWAKA  2014 /2015 PAMOJA  NA MALIMBIKIZO.           ILI KUEPUSHA  USUMBUFU,  WAMILIKI  WA VIWANJA  NA MASHAMBA  WANASHAURIWA KUWASILISHA  RISITI  YA  MALIPO  YA NYUMA  KWA  AJILI  YA  UHAKIKI  WAKATI WA MAKADIRIO  YA KODI YA  2014 /2015.                                                   
WIZARA YA ARDHI INAKUSUDIA KICHUKUA  HATUA KALI ZA KISHERIA IKIWEMO KUWAFIKISHA  MAHAKAMANI NA KUBATILISHA  MILIKI  ZA  VIWANJA  KWA WALE  WAMILIKI WATAKAOSHINDWA  KULIPIA  KODI YA ARDHI KWA VIWANJA  NA  MASHAMBA  YAO BAADA YA TANGAZO HILI.

LIMETOLEWA NA: 



                      KAMISHINA MSAIDIZI WA ARDHI  KANDA YA KUSINI

KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NAMBA:
0754-425786/0787-793844


TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by WAYEGE CO.LTD
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mtazamo Mpya | Designed By FAHARI YA TANZANIA
Back To Top