Loading...
ADVERTISE WITH US ON THIS BLOG.CALL +255 714 789 592/ +255 682 997 767/ +255 752 944 022

BREAKING NEWS: AJALI MBAYA YA LORI YATOKEA MTWARA,MMOJA AFARIKI DUNIA WENGINE MAHUTUTI.

TANGAZO

Mtu mmoja amefariki dunia huku wawili hali zao zikiwa mbaya baada ya kujeruhiwa vibaya katika ajali ya gari ambalo ni lori iliyotokea muda si mrefu katika eneo la NALIENDELE Mkoani Mtwara.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa lori hilo lilikuwa limebeba matofali likipeleka kwenye eneo la ujenzi la askari mmoja wa jeshi la wananchi (JWTZ).

Watu wengine zaidi ya saba nao pia wamejeruhiwa na wako katika Hospitali ya Ligula Manispaa ya Mtwara.Tutaendelea kuwajuza...........


TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by WAYEGE CO.LTD
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mtazamo Mpya | Designed By FAHARI YA TANZANIA
Back To Top