Loading...
ADVERTISE WITH US ON THIS BLOG.CALL +255 714 789 592/ +255 682 997 767/ +255 752 944 022

#Kama Hauko Ngongo Lindi,Usiangaike Nimekuwekea Matukio ktk picha ya Maonesho ya Nane Nane.

TANGAZO
WAZIRI Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa George Simbachawene akipata maelekezo kwenye moja ya Banda la maonesho ya Nane Nane yanayofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Ngongo manispaa ya Mji wa Lindi.

WAZIRI george Simbachawene akiwa na mkuu wa mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Halima Dendego pamoja na Mkuu wa wilaya ya Newala.

Mheshimiwa Waziri wa TAMISEMI George Simbachawene akionesha mkoba aliopewa kwenye banda la mfuko wa Afya ya Jamii (NHIF) Kwenye banda lao la maonesho ya Nane Nane.

Waziri wa TAMISEMI akisaini kitabu cha wageni kwenye banda la maonesho la Halmashauri ya wilaya ya Lindi.

MKULIMA wa Mihogo kutoka kijiji cha Mtama mkoani Lindi Rashid Chilumba akionesha bidhaa zake kwenye maonesho ya Nane Nane.

WATAALAMU wa TANESCO wakitoa Elimu kwa Vitendo namna ya Kumuokoa mtu alioyepatwa na tatizo la Umeme.

Banda la kuku la maonesho ya Nane Nane likiwa kwenye viwanja vya Ngongo manispaa ya Lindi.

 Afisa Habari na Uhusiano wa Halmashauri ya Mji wa Masasi Bwana Clarence Chilumba,(Kulia) akitoa maelezo mafupi ya ukaribisho kwenye Banda la Maonesho la Halmashauri ya Mji wa Masasi kwa mkuu wa mkoa wa Lindi Mheshimiwa Godfrey Zambi alipotembelea banda hilo la maonesho.



 MKUU wa mkoa wa Lindi akiwa ndani ya Banda la Halmashauri ya Mji wa Masasi akikagua bidhaa mbalimbali zilizopo kwenye banda hilo.
Mheshimiwa Godfrey Zambi akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wajasiliamali kwenye banda la maonesho ya Nane Nane Halmashauri ya mji wa Masasi.
MKUU wa mkoa wa Lindi Mheshimiwa Godfrey Zambi akikagua bidhaa kwenye banda la maonesho ya Nane Nane Halmashauri ya mji wa Masasi.
TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by WAYEGE CO.LTD
Newer Posts Older Posts
© Copyright Mtazamo Mpya | Designed By FAHARI YA TANZANIA
Back To Top