Loading...

ALIYEKUWA MKE WA SAJENTI MMOLE WA JWTZ ALIYEJINYONGA AZIKWA RASMI HII LEO

TANGAZO


Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu TABU THOMASI aliyekuwa mke wa Sajenti wa JWTZ COSMAS MMOLE aliyejinyonga juzi majira ya saa 5:00 Asubuhi kwa kutumia kamba akiwa chumbani nyumbani kwake.



Mamia ya waombolezaji waliojitokeza kwa wingi kwenye mazishi hayo ya mwalimu TABU THOMASI aliyejinyonga na kuzikwa kijijini kwao huko Mbonde Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara.



TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by WAYEGE CO.LTD
© Copyright Mtazamo Mpya | Designed By FAHARI YA TANZANIA
Back To Top